Tuesday, October 22, 2013
MSANII ALIYEKUWA ANATEMBEA NUSU UCHI HUKO NJE YA NCHI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjfIqg2B7k9QtKCUgpgpuM3O5arDfShP-ijIlt4wy1GlSoW8ZQm5iIsDPgTyTAuHopREMiki9iYUintHX4aEABTOhuokG8JGYn2213-WKLHrBuYFTMzk_di_NnoDNDwwN3wNjJxa00qW0FX/s640/JACKDASTAN2.png
Saturday, October 19, 2013
MUHIMU KWA WENYE BLOG WOTE
Habari...
Kama Tulivyohaidigi kwa wengi kwamba tutawaonesha jinsi ya kufanya Blogs/Website zao ziweze kuonekana Google kwaurahisi basi tumeamua mafunzo haya tusitoe kwa watu wachache tuu bali tuitoe hewani ili iweze kuwa manufaa kwa bloggers wote..
Somo hili la leo kwa kiingereza linaitwa Search Engine Optimization (SEO) sasa sijui kwakiswahili tukifupisha tutaitaje..lol SEO nisomo pana sana tena sana ambalo kila blogger anahitaji kulijua.. usione blogs kama BONGOCLAN inatembelewa sana ukajiuliza inakuaje nayako haitembelewi hivyo..
Kipindi nilipokuwa na blog ya MOLLELPIXELS hivyi ndivyo nilivyokuwa ikitembelewa kwakila dakika..
Mafundisho haya nitayatoa kupitia mifano ya blog ya BONGOCLANTZna NYUMBAYAHABARI
Sasa Tuanze somoletu rasmi kwakuangalia kipengele cha kwanza..
1.SUBMIT YOUR BLOG TO SEARCH ENGINES
Nimeshindwa kuielezea hiko kichwa vizuri lakini nitakifafanua vizuri hapa search engine nini search engine ni sehemu yeyote ile inayohiska kuhifadhia maelezo katika intaneti yani kuhifadhia online mfano w
KUPENDA KWELI MAJANGA
Kuna demu mm0ja kamaliza chuo keshe saa ndo kaja hapa tz na yupo hapa mtaa wa tatu...yani mzuri sijapata ona yani ukamwangalia kasura kaa ka mtoto iv.,kiuno kaa kichuguu kilichoota miaka kadhaa iliyopia na mguu wenyewe wa wine..hips utafikiri mashavu ya tom na jery dah anabamba sana pande iz..
Cha ajabu masela wamegoma kumpandia wanamw0gopa et mtoto wa kishua sana af et hawajui kiulaya dah mpaka akawa anajihisi hajakamilika...juzi npo zangu kibalazan nachat chat fb npo kitumbo nje mara nkaona toto hilo lapita dah kiukweli nilimfata hadi kene kona na nkapata sikia akimuuliza rafik ake kwamba amebuma hajapata boy na vile ana miaka hajakwea mnaz dah nilifurahi vibaya mn0 nkajua hapa kido nshapata ki2 kipo hewani ngoja nkakidabue....
Nilirudi fasta nyumbani nkamtegeshea bro kamsindikiza shem nkaingia chumban kwake nkachukua jeans lake la id na mtisheti wake hule mzuri kisha nkaangalia ustaharabu nkachukua beg lake la chuo nkapitia mlango wa nyuma fasta nkaelekea kwa msela wangu nkaazma laptop chini nka2pia supla
KUPENDA KWELI MAJANGA
Kuna demu mm0ja kamaliza chuo keshe saa ndo kaja hapa tz na yupo hapa mtaa wa tatu...yani mzuri sijapata ona yani ukamwangalia kasura kaa ka mtoto iv.,kiuno kaa kichuguu kilichoota miaka kadhaa iliyopia na mguu wenyewe wa wine..hips utafikiri mashavu ya tom na jery dah anabamba sana pande iz..
Cha ajabu masela wamegoma kumpandia wanamw0gopa et mtoto wa kishua sana af et hawajui kiulaya dah mpaka akawa anajihisi hajakamilika...juzi npo zangu kibalazan nachat chat fb npo kitumbo nje mara nkaona toto hilo lapita dah kiukweli nilimfata hadi kene kona na nkapata sikia akimuuliza rafik ake kwamba amebuma hajapata boy na vile ana miaka hajakwea mnaz dah nilifurahi vibaya mn0 nkajua hapa kido nshapata ki2 kipo hewani ngoja nkakidabue....
Nilirudi fasta nyumbani nkamtegeshea bro kamsindikiza shem nkaingia chumban kwake nkachukua jeans lake la id na mtisheti wake hule mzuri kisha nkaangalia ustaharabu nkachukua beg lake la chuo nkapitia mlango wa nyuma fasta nkaelekea kwa msela wangu nkaazma laptop chini nka2pia supla
Friday, October 18, 2013
MAHUSIANO YA MAPENZI
Wasichana wanafunzi wananichanganyasana
SWALI
Anko mimi ni mvulana miaka 20, nafanya kazi. Tatizo ambalo nakabiliwa nalo ni kuwapenda wasichana ambao ni wanafunzi. Nasema hili ni tatizo kwa sababu hisia zangu za mapenzi haziko kwa wasichana wa kawaida mtaani. Mimi Anko nikiwaona wasichana hasa wakiwa na sare yaani nachanganyikiwa kabisa. Naomba ushauri wako.
JIBU
Ushauri wangu wa kwanza ni kwamba acha kufanya mapenzi na wanafunzi ni hatari na hasa wale wenye umri mdogo kwani ikibainika adhabu yake ni kifungo cha miaka 30 jela.
Kuhusu kuchasnganyikiwa unapowaona, hili ni tatizo la kisaikolojia ambalo linatokana na kinasa hisia chako kulewa aidha udanganyifu kutoka kwa watu wako wa karibu au maumbileyaokukuvutia.
Hapa ingekuwa vemakamaungepata muda unione ili nizungumze nawe uniambie,ili mwanamke akuvutie awe na sifa gain? Maana inawezekana kinachovuta hisia zako ni ‘matiti saa sita’ na sura za kitoto, hivyo huwezi kuwapenda wasichana ambao hawana sifa hizo mpaka utibiwe athari hiyo ya kisaikolojia.
Lakini pia
TOA USHAURI WAKO
Natafuta njia ya kuachana naye
SWALI
Swali langu kwa Mshauri ni kwamba, mimi ni msichana ambaye nina mpenzi wangu niliyempa moyo wangu wote kwa kumwamini kuwa atakuwa mume wa maisha yangu. Lakini siku za hivi karibuni amebadilika, mara nyingi nimefuma meseji za mapenzi kwenye simu yake na wakati mwingine nimemuona laivu. Naumiasanalakini nashindwa kumuacha kwa sababu nampenda, mshauri nisaidie njia ya kumwacha mwanaume huyu ataniua bure.
JIBU
Kitaalamu mwanzo wa mapenzi huwa ni rahisi kuliko mwisho wake. Hii inatokana na ukweli kwamba mapenzi ni sawa na ulevi ambao mtu akiuzoea ni vigumu kuuacha kwa mara moja, ndiyo maana tunaona watu wanateswa lakini wanashindwa kuamua kuachana na wapenzi wao kwa sababukamahizo zako. Sasa ili mtu afikie uamuzi wa kuachana na mtu aliyekuwa nayekamampenzi kwa miaka mingi lazima ajue kanuni, vinginevyo moyo hautakubali.
MKE WA MTU ANAITAJI KUPEWA MIMBA
Habari zenu wakuu,huyu dada tulifahamiana tukiwa safarini, alinionekana kuwa mcheshi na mkarimu sana kwangu kumbe alikuwa analake,kwakuwa tulikuwa tumekaa siti moja sikusita kuongea nae mawili matatu,baada ya maongezi mengi aliniambia ameolewa ila mpaka sasa hawaja barikiwa mtoto ingawa wameshaangaika hospitalini na kwa waganga wa jadi...Kwa maelezo yake mumewe ndio anatatizo na hospitali ndivyo walivyo ambiwa.
Sasa yeye anasema anahitaji mtoto na amechoka kuishi bila mtoto na Kubwa zaidi anataka kutest kama kweli yeye hanatatizo,Ingawa nimeshauri aendelee kuwa na subra kwan ipo siku Mungu atatenda,ila anasema kama kuvumilia amevumilia sana ila kwa sasa basi....anachotaka yeye ni mimba tu na jumatano hii anakutakuja Dar kwa ajili ya kutekeleza swala hili.
Binafsi mimi nina miaka 26..
Naombeni ushauri wenu je nimtekekezee swala lake ama nimshauri vipi? Pretend kama ni wewe then ungefanyaje?
Thursday, October 17, 2013
HATARI HATARI HATARI
MAMA WEMA SEPETU AMCHAPA MAKOFI DJ UKUMBINI KWA KUPIGA WIMBO WA DIAMOND...!!
Like
0
MAMA wa Wema Sepetu, Mariam Sepetu juzikati alitoa kali ya mwaka baada ya kumvaa Dj na kutaka kumchapa vibao kisa kikiwa ni kupiga nyimbo za aliyekuwa ‘mkwe’ wake, Nasib Abdul ‘Diamond’.
Tukio hilo lilijiri hivi karibuni nyumbani kwa Mtangazaji wa Clouds TV na Redio, Zamaradi Mketema, Mbezi Beach jijini Dar kulikokuwa na ‘bethidei’ ya mwanaye aitwaye Russel.
Wakati watu wakiendelea kuburudika, Dj aliweka wimbo wa Diamond wa Nimpende Nani ambapo ghafla mama Wema alionekana kuhamaki pale wimbo huo ulipofikia ile sehemu inayosema: ‘Usiwe kama Wema Sepetu, kila siku magazeti’.
[image]Mara mama huyo akiwa amefura aliinuka na kwenda kwenye meza ya muziki na kuuzima kisha ‘kumuanzishia’ Dj huku akimchimba mkwara kuwa hataki kusikia nyimbo za Diamond popote pale anapokuwepo.
“Hivi wewe Dj toka nifike ni nyimbo za Diamond, hakuna nyimbo nyingine? Nakuomba sehemu yoyote utakayoniona mimi usiweke nyimbo hizo, sawa… na hivi sasa badili wi
POLE POLE POLE POLE
Mwanamke mmoja wa Ilala jijini Dar es Salaam, Mwanahamisi Saidi amefariki dunia wakati akijiandaa kwenda kwa mumewe baada ya kufunga ndoa.
Tukio hilo limesababisha sherehe ya harusi kugeuka kuwa msiba.
Tukio hilo la kuhuzunisha lilitokea Jumapili iliyopita, muda ambao bibi harusi alitakiwa kuchukuliwa na mumewe Amani Hassan kwenda nyumbani kwake.
Mwanahamisi aliaga dunia akiwa katika Hospitali ya Amana iliyoko Wilaya ya Ilala, baada ya kuugua ghafla.
Akizungumza kwa majonzi, Hassan alisema kuwa alifunga ndoa kwa taratibu za Dini ya Kiislamu Ijumaa iliyopita katika msikiti ulioko Vingunguti jijini Dar es Salaam na kupanga kwenda kumchukua mkewe siku ya Jumapili.
“Baada ya kufunga ndoa niliwaahidi ndugu wa mke wangu kuwa nitakwenda kumchukua mke wangu Jumapili kwa sababu upande wangu ulikuwa umeandaa sherehe iliyoanza Jumamosi na Jumapili ndio tulipanga kumaliza kwa kumchukua mwali wetu,” alieleza kwa masikitiko Hassan.
Alisema alipigiwa simu na mdogo wa marehemu kuwa mkewe ameugua ghafla na hana nguvu na kwamb
TOA USHAURI WAKO KWA HILI
MKALI naomba share na watu wako ishu hii ili nipate ushauri ila FICHA BARUA PEPE KAMA KAWAIDA-INBOX KUNA MAMBO WADAU
"Naitwa Vivian nipo chuo mwaka wa pili. Nna rafiki yangu mmoja ambaye nipo nae chuo ambaye ni family friend wetu maana parents wake na wangu wana ukaribu since muda mrefu kidogo. Huyo Baba wa best yangu aliwahi kunitokea kipindi cha nyuma na alikuwa akinipa zawadi za gharama sana ikiwemo laptop na simu ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwangu chuoni ingawa rafiki yangu hajui kuhusiana na hilo. So ili kuzidisha ukaribu wa family zetu nikaona sikuona sababu ya kumnyima ila nilimuomba tufanye kwa siri sana ili tusije gundulika, na hadi leo tunaendeleza uhusiano wetu. Sasa juzi wakati nipo nae hotelini wakati amekwenda kuoga nikachunguza simu yake nikakuta picha za mama yangu akiwa kapiga nae faragha na jumbe nyingi za kimapenzi walizochat kupitia WhatsApp, Viber na sms. Kitendo cha Mama yangu kumsaliti baba yangu, na pia kutaka kunipokonya bwanaangu kimeniuma sana sio siri. Naomba mnishauri cha kufany
TAMBUA MAISHA YA WEMA SEPETU
SHOW YA WEMA SEPETU IMEANZA KUONEKANA KWA TV..!! KAMA UNATAKA KUMJUA WEMA NI NANI, TABIA YAKE, NA MAZURI NA MABAYA ANAYOFANYA BASI SOMA HAPA..!!
Show ya TV ‘In my shoes’ ya mwigizaji Wema Sepetu kutoka bongo movie imeanza kuonyeshwa Eatv October 16 2013 ambapo Episode hii ya kwanza imeanza kwa kumuonyesha Wema kwanza akieleza yeye ni nani, anafanya nini, ni mtu wa aina gani na mengine kama hayo ambapo yafuatayo hapa chini ni maswali aliyoulizwa na kuyatolea majibu.
Swali: Wema ni nani?
Jibu: Wema Sepetu is a girl, i can say a Lady mwenye umri wa miaka 24 kutoka familia ya Isack Abraham Sepetu, a darling, a libra.. a girl who is very ambicious, i love my self…
Swali: Siku yako ya kwanza shuleni ilikuaje?
Wema: Siku ya kwanza tumeenda nikakutana na msichana flani hivi anaitwa Shubira nakumbuka mpaka leo, alikua rafiki yangu wa kwanza tulikutana shuleni nilikua na miaka minne… tumekaa nikaanza kulia kwa sababu ilikua sehemu mpya, mazingira mapya baada ya hapo tukazoea.
Shule ilikua vipi kipindi unasoma?
MAMA DIAMOND KUINGILIA PENZI LA MWANAE
MAMA DIAMOND AINGILIA PENZI LA DIAMOND, WEMA
MAMA mzazi wa mkali wa ngoma ya Number One, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasim ‘Sandra’ ameingilia kati penzi lililofufuka upya kati ya mwanaye na staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu.
Habari za chini ya kapeti zilitonya kuwa baada ya kuambiwa na kuoneshwa picha za Diamond akiwa kimahaba na Wema alikuja juu akidai kuwa hamtaki Wema kwa kuwa anamkubali zaidi Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda nyumbani kwake Sinza-Mori jijini Dar wikiendi iliyopita, bi’mkubwa huyo alisema kuwa kwa sasa hafahamu chochote kuhusu Diamond kurudiana na Wema zaidi ya kusikia kwa watu na kuona picha katika mitandao ya kijamii.
“Kuhusu Nasibu (Diamond) kurudiana na Wema, nasikia tu na kuoneshwa picha namsubiri Nasibu arudi kisha nikae naye ndipo nitatoa tamko,” alisema mzazi huyo.
Mapaparazi wa Ijumaa Wikienda kadiri walivyozidi kumchimba mama mkwe huyo wa Wema ni jinsi gani anavyojisikia kuhusu tabia ya kubadilisha wanawake kama nguo, ikizingatiwa yeye ni
Wednesday, October 16, 2013
MAJIBU YA MWANAMKE AMBAYE AKUPENDi
haya ndo majibu yake;
1.Baby 2taongea badae,nnakazi nyng
2.Jamani honey ckuweza kupokea cmu nlikua kwenye kelele.
3.Sweety cna credit,that's why cjajibu sms yako.
4.tuko kwenye kikao ntakubip badae dia.
5.Cmu haikua na chaji jamani (hapo alikuzimia).
6.Nipo na baba yangu ucpge cmu.
7.Naumwa kesho ha2wezi kuonana.
8.nyumban kuna mgeni cwez kuja leo.
9.Nipo safarini ntakutafuta badae (kwa saut ya chini).
10.Yani ulivoniongezea salio 2 likakatwa coz nilikopa,ni'recharge tena dia (lazma uombe poo).
UKIONA MAJIBU HAYA UJUE HUNA CHAKO!!!
gOOD MORNING PEOPLE
Just nownear Dar es Salaam
Monday, October 14, 2013
KUPENDA KWELI HATARI SANA
ebu chukua hii
nimetoka zangu kwa mchizi wangu axubuhi kumwangalia maana jana alifanywa kitu mbaya kidogo kisa mwanamke basi nikawa namuuliza kwa nini umepigwa hadi umevunjwa mkono wangu
BASI AKANIJIBU HIVI
MCHIZI : Omy me yule mwanamke nampenda hata kama nimepigwa hivi na huyo braza yake sitoweza kumuacha bora hata aniue 2 nakwambia hivyo omy
OMY : wangu xaxa mbona utaumia xana mbona wanawake wapo wengi tena wakali kila day wanaibuka tuu humu mtaani na mwanamke mwenyewe yule wakasoma uoni kama msala huo kaka
MCHIZI : omy we fala eti nimekwambia siwezi kumuacha au unanionea wivu unataka kumchukua wewe toka home kwangu omy sitaki kukuona tena kumbe we boya 2 niaje na urafiki uishe au sio
OMY : sio hivyo ila poa utanifuata one day na utapigika xana si unamcheki kaka ake mwenyewe bangi m2pu kichwani mule
MCHIZI : toka omy niseje nikakuchoma kisu dogo au nikakuumiza
NILISEPA DUUH BILA KUANGALIA NYUMA EBU NIAMBIE KUNA NENO BAYA KWELI NILIMWAMBIA PALE
WANAWAKE WA FACEBOOK JINSI WANAWATEKA WANAUME
Omy : mambo
binti : poa nambie wewe
omy : kwangu mzima xana 2 na ni amani kwa xana
binti : omy me nashida ya elfu hamsini je unaweza nisaidia jamani mpenzi
omy : mmmh sijakuelewa jamani unamaanisha wewe
binti : nataka unipe 50000 maana chuo kwe2 bumu alijatoka
omy : haya mamii chukua hii 51000 jamani mi na wewe tena ni kama pete na kidole
binti : omy unautani me kweli nashida na iyo pesa maana nimefulia hata sina chakufanya mpenzi
omy : ooh mpenzi tena majanga hayo wacha wewe
binti : omy jamani si nimekupenda ghafla tu mwenzio ebu nawe kuwa serious basi
omy : we we we we hatar iyo me ninae huwa ananionga yeye elfu za vocha kila day sasa wewe unataka nikuonge wewe tena mmmh
BINTI : kumbe we mwanaume suruali 2 eti eeeh
OMY : we je mwanamke sketi maana sikusomi unijui unakurupuka 2 nikupe 50000 elfu me nachimba
BINTI : hata elfu 5000 mpenzi wangu omy nitumie tu
KIMYA OMY KAINGIA MITINI HADI SAIVI SIJUI YUKO WAPI AU SIJUI KAENDA KUBOMOA KIBOX HAPANA JUA HIYO
Saturday, October 12, 2013
TAMBU JINSI YA KUMTEKA MWANAMKE
Mapenzi ya sasa yamejawa na tamaa sana ya pesa kwa hiyo hizi ndizo stage za kumteka mwanamke
step 1: Kumpa vizawadi kila ifikapo wikieni,ukiwa hivyo utasababisha mpenzi wako hakuamini xana
step 2 : kumtoa out ifikapo wikiend,hii ni hatua nzuri ya kumfanya mpenzi wako ajione mwenye bahati ya pekee sana
step 3 : kumpa maneno matamu na malaini,mwanaume ukimwambia mwanamke maneno matamu xana hatajiona mwenye amani ktk moyo
Monday, October 7, 2013
omary hamis: MADHARA YA KUJICHUA AU KUPIGA PUNYETO.
: MADHARA YA KUJICHUA AU KUPIGA PUNYETO.: Wapo wanaotumia Midoli au vifaa maalum kwaajiri yakujichua au kupiga punyeto, vifaa hivi ni uke uliotengenezwa kwa muonekano wamaumbile ya sEX NA VINGINE VINGI...
Friday, July 19, 2013
OMARY HAMIS: HUYU MAMA KATOA KALI YA MWAKA........ANAOMBA USHAURI WENU...
OMARY HAMIS: HUYU MAMA KATOA KALI YA MWAKA........ANAOMBA USH...: NAOMBA USHAURI MIMI NI MWANAMKE MWENYE MIAKA 47 NIMETOKEA KUWA NA UHUSIANO NA KIJANA MWENYE UMRI WA MIAKA 18. KIUKWELI MIE NDO NILIYE MTONGOZA NAE AKAKUBALI KUTOKANA NA UWEZO WANGU WA KIFEDHA ...
Tuesday, July 16, 2013
mwanaume mmoja ang'atwa ktk sehemu nyetu
Ikiwa ni maajabu ya haina yake lakn ni kweli
imetokea huko nchini syria mwanaume mwenye miaka 35
atorewa nyeti na nyoka aliye kwenye sinki ya kukojolea
imetokea huko nchini syria mwanaume mwenye miaka 35
atorewa nyeti na nyoka aliye kwenye sinki ya kukojolea
Friday, July 5, 2013
Tuesday, July 2, 2013
omary hamis: Wambura aitaka TFF kusitisha matumizi ya katiba mp...
OMARY HAMIS: Wambura aitaka TFF kusitisha matumizi ya katiba mp...: Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa TFF), na mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais, Michael Wambura, ameitaka Kamati y...
kATI YA ABDU KIBA NA NEIBA NAMI MKALI UNAEMKUBALI KTK UIMBAJI WAKE?
kATI YA ABDU KIBA NA NEIBA NAMI MKALI UNAEMKUBALI KTK UIMBAJI WAKE? KULA YAKO MUHIMU KUJUA NANI MKALI ZAIDI YA MWENZAKE
omary hamis: UTAMU:ZIJUE DALILI KUU 2 ZA MWANAMKE ANAPOTAKA KUFIKA KILELENI ...
Omary hamis: UTAMU:ZIJUE DALILI KUU 2 ZA MWANAMKE ANAPOTAKA KUFIKA KILELENI...: Siku zote katika mapenzi hakuna kitu kizuri kama kuridhishana hususan katika tendo la ndoa, ukweli uliopo ni rahisi sana kwa mwanaume kufika kilele kabla ya mwanamke...
Monday, July 1, 2013
SALMA STYLE: Salma style: Sasa Barabara ya "Ocean Road" kuitwa ...
omaryhamis: Sasa Barabara ya "Ocean Road" kuitwa ...: Omary hamis: Sasa Barabara ya "Ocean Road" kuitwa "Barack Obama... : Barabara ya Ocean Road ambayo itabadilishwa jina na kuit...
Omary hamis: Video: Nicki Minaj na Ciara walivyotisha kwenye ju...
Omary hamis: Video: Nicki Minaj na Ciara walivyotisha kwenye ju...: Usiku wa jana huko Los Angeles Marekani zilitolewa tuzo zenye heshima kubwa duniani ‘BET Awards 2013’ ambapo Afrika mashariki iliwakil...
Mmiliki Wa Facebook Mark Zuckerberg Na Wafanyakazi...
Omary hamis: Mmiliki Wa Facebook Mark Zuckerberg Na Wafanyakazi...: Mmiliki wa mtandao wa kijamii Facebook CEO Mark Zuckerberg amejiunga na wafanyakazi wa kampuni yake waliozidi 700 katika matembezi ya kushe...
: Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Akuta...
: Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Akuta...: Omary hamis: Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Akutana Kwa Mazungumzo na Profesa Midori Uno, anayefundisha somo la kiswahili kwenye Chuo Kikuu...
OMARY HAMIS: MICHELLE OBAMA ATEMBELEA OFISI ZA WAMA FOUNDATION ...
Omary hamis: MICHELLE OBAMA ATEMBELEA OFISI ZA WAMA FOUNDATION ...: Mke wa Rais wa Markani mama Michelle Barack Obama akiwasili katika ofisi za Wanawake na Maendeleo WAMA jioni hii...
Monday, June 24, 2013
omary hamis: WASHIRIKI WA BIG BROTHER WAZIDI KUUMBUKA....BINTI ...
: WASHIRIKI WA BIG BROTHER WAZIDI KUUMBUKA....BINTI ...: Hali ni mbaya kwa dada zetu walioko ndani ya jumba la big brother baada ya washiriki wawili mfululizo kuanikwa na ...
Saturday, June 22, 2013
OMARY HAMIS: NEW AUDIO: Viva Ft Burney Mc(Uganda) ,Willy Fololo...
: NEW AUDIO: Viva Ft Burney Mc(Uganda) ,Willy Fololo...: ......IMESUBIRIWA KWA HAMU SANA Hatimaye Mwali huyu hapa Ngoma ya Kimataifa ... New Music : East Africa Metaphor -Viva (Tz) ft Burney Mc(U...
omary hamis: TV DOCUMENTARY: MAN WITH 10ST TESTICLES
OMARY HAMIS: TV DOCUMENTARY: MAN WITH 10ST TESTICLES: Unsightly ... Wesley Warren Jr could hardly walk due to huge scrotum The extraordinary story of 49-year-old Las Vegas resident Wesley W...
: omary hamis: VIDEO NZIMA YA MKUTANO WA CHADEMA AMB...
REPOTA OMARY HAMIS: VIDEO NZIMA YA MKUTANO WA CHADEMA AMB...: Check hapa >> VIDEO NZIMA YA MKUTANO WA CHADEMA AMBAYO ILIAHIDIWA KUWEKWA MTANDAONI
Friday, June 21, 2013
Kutokana Na Mienendo Yao Wasanii Hawa Sita Wametaj...
: Kutokana Na Mienendo Yao Wasanii Hawa Sita Wametaj...: Mastaa wanaotikisa dunia, akiwepo Miley Cyrus, mwanamama Kim Kardashian pia Chris Brown wametokea katika nafasi ya juu kabisa katika orod...
MACHELLAH 0713 470 492 machellahm@yahoo.com: BONDIA MTANZANIA THOMAS MASHALI AMGALAGAZA BERNAD ...
MACHELLAH 0713 470 492 machellahm@yahoo.com: BONDIA MTANZANIA THOMAS MASHALI AMGALAGAZA BERNAD ...: Bondia Mtanzania Thomas Mashali kushoto akiwa amemgalagaza bondia Bernad Mackoliech na kwenda chini akimsubili ili amwendelezee kip...
omary hamis: #FAHAMU Kesi Iliyo Funguliwa Dhidi Ya Lionel Messi...
Omary hamis: #FAHAMU Kesi Iliyo Funguliwa Dhidi Ya Lionel Messi...: Mshambuliaji nyota wa ki-argentina Lionel Messi ameitwa mahakamani tarehe 17 ya September kwenda kujibu shitaka la kukwepam kodi nchini...
omary hamis: Washindi Wa 2013 NBA Championship Ndio Hawa.
OMARY HAMIS: Washindi Wa 2013 NBA Championship Ndio Hawa.: The Miami Heat have done it again.Yes ni game 7 Chini ya King Lebron James, Miami Heat imeondoka na Points 95 Kwa 88 za San Antonio Spurs. ...
Wednesday, June 19, 2013
Monday, June 10, 2013
OMARY HAMIS: NI WAZEE WA HIP-POP'S!!!PIA WAZEE WA MABUSINESS NA...
OMARY: NI WAZEE WA HIP-POP'S!!!PIA WAZEE WA MABUSINESS NA...: Siku hizi waimbaji hawaishii kuimba tu kama ndio maisha yao bali wengi wao wako na biashara tofauti sio kama zamani ilikuwa kuimba na kula b...
Sunday, June 9, 2013
Thursday, June 6, 2013
omary hamis ::Mzee wa matukio daima::: BREAKING NEWS AJALI YAUA ZAIDI 5 WENGINE ZAIDI Y...
OMARY HAMIS ::Mzee wa matukio daima::: BREAKING NEWS AJALI YAUA ZAIDI 5 WENGINE ZAIDI Y...: Moja kati ya ajali ya basi la Taqwa (picha na maktaba yetu) ....................................................... Abiria zaidi wata...
Monday, May 20, 2013
Friday, April 5, 2013
Monday, April 1, 2013
Wednesday, March 27, 2013
SPORTS IN BONGO: NESTA AONGEZA GAP BAINA YA SIMBA NA AZAM
SPORTS IN BONGO: NESTA AONGEZA GAP BAINA YA SIMBA NA AZAM: Mchezaji wa kagera sugar Amandus Nesta ameongeza tofauti (gap) ya pointi kati ya Azam inayoshika nafasi ya pili na Simba sc inayoshika nafas...
Tuesday, March 19, 2013
Sunday, March 17, 2013
Mama na Mwana: Siri ya kumfanya mwanao awe na akili: Ijue Dunia
Mama na Mwana: Siri ya kumfanya mwanao awe na akili: Ijue Dunia: Sio lazima uwe kama kina Jolie-Pitt ndo uwe unaweza kutembelea dunia hapana kuna njia nyingi za kuijua dunia. Hapa kinachomaanishwa ...
Thursday, March 14, 2013
Omaryhamis: NU JOINT: KARIBU DAR / KALA JEREMIAH FEAT BEN POL
DJ Fetty: NU JOINT: KARIBU DAR / KALA JEREMIAH FEAT BEN POL: Baada ya kutesa kwa takribani miezi sita na joint lake "Dear God', kwenye chati za radio na Tv stations mbali mbali, akishika na...
Omary STAR LINK: Janjaro akila bata ndani ya South Africa,Cape Town...
BONGO STAR LINK: Janjaro akila bata ndani ya South Africa,Cape Town...: Wiki kadhaa sasa zimepita toka Dogo Janja aende kwa Madiba South Africa pande za Cape Town kwenye tour yake hiyo kali iliyoandaliwa na Mtana...
Wednesday, March 13, 2013
This is omaryhamis: BREAKING NEWS:FIFA YAIFUNGIA TANZANIA
BREAKING NEWS:FIFA YAIFUNGIA TANZANIA: Taarifa zilizoingia hivi punde kutoka kwenye chanzo cha habari kutoka TFF ni kwamba shirikisho la kimataifa la soka duniani FIFA limeifungia TANZANIA kushiriki mechi za kmataifa...
Songea town: PAPA MPYA AMEKWISHAPATIKANA
: PAPA MPYA AMEKWISHAPATIKANA: Huu ni moshi mweupe ulio onekana kwenye dohani la Sistine Chapel ikiwa ni ishara ya kuwa papa mpya amekwisha chaguliwa
Tuesday, March 5, 2013
This is Diamond: VIDEO INAYOMUONESHA MSANII WA FILAMU BONGO ( SHAMS...
This is Diamond: VIDEO INAYOMUONESHA MSANII WA FILAMU BONGO ( SHAMS...: VIDEO inayomuonesha msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford akijifungua imezua kizaazaa baada ya mtu asiyejulikana kuichukua bila ridh...
Thursday, February 21, 2013
Friday, February 1, 2013
This is omary hamis: SAUTI ZA BUSARA 2013:WITO WA FILAMU ZA MUZIKI ZA K...
This is omary hamis: SAUTI ZA BUSARA 2013:WITO WA FILAMU ZA MUZIKI ZA K...: Tamasha la Sauti za Busara linapokea maombi ya filamu za muziki wa kiafrika kwa kwa ratiba ya mwaka 2013. Toleo la kumi la tukio hi...
Thursday, January 31, 2013
Omary hamis......HARAKATI ZA BONGO: TIMBULO WA LEO WA KESHO AINGIA BONGO MOVIE
>>OMARY HAMis HARAKATI ZA BONGO: TIMBULO WA LEO WA KESHO AINGIA BONGO MOVIE: Moja ya picha ya Timbulo na Rose Ndauka wakiwa location Rose Ndauka Msanii wa bongo fleva Ally Timbulo maarufu kama Timbulo ivi sasa yupo kwenye alakati za kuingia bongo movie...
Omary hamis TZ: Dondoo za Hip Hop: Tofauti kati ya Rapper na MC (M...
>>: Dondoo za Hip Hop: Tofauti kati ya Rapper na MC (M...: Karibuni tena kwenye darasa huru la utamaduni wa Hip Hop, ikiwa ni juma la pili na toleo la pili la "Dondoo za Hip Hop" linalowasilishw...
Inawezekana !!!!!: 7 tips for working securely from wireless hot-spot...
Inawezekana !!!!!: 7 tips for working securely from wireless hot-spot...: 7 tips for working securely from wireless hot-spots... Wireless hotspots are changing the way people work. These wireless local ar...
Wednesday, January 30, 2013
HARAKATI ZA BONGO: KITALE KUYAAGA MAISHA YA UBACHELA JUMAPILI HII.
HARAKATI ZA BONGO: KITALE KUYAAGA MAISHA YA UBACHELA JUMAPILI HII.: Msanii Filamu hapa nchini anae fanya poa sana akiigiza kama teja pia zile filamu za ucheshi ambaye anajulikana kwa jina la kitale ...
Tuesday, January 29, 2013
Monday, January 28, 2013
OMARY HAMIS mchambuzi WETU katika habari tofautitofauti : GREAT NEWS; MTOTO LULU YUPO NJE KWA DHAMANA
mtoa habari wetu omary hamis : GREAT NEWS; MTOTO LULU YUPO NJE KWA DHAMANA: Msanii Elizabeth Michael'Lulu" anayekabiliwa na shtaka la kumuuwa msanii mwenzie Steven Kanumba, hatimae leo ameweza kupata dhamana it...
Tuesday, January 22, 2013
Omary hamis member of Family: Ruka Juu yapata mshindi
Femina Family: Ruka Juu yapata mshindi: Idrisa Mannah (aliyevaa suti), akikabidhiwa mshiko wake kwa ushindi wa Ruka Juu!
Omary hamis degree wa habari: Fema Klab - Mwenge Secondary School Singida wakiwa ktk pozi
Femina: Fema Klab - Mwenge Secondary School Singida: From left standing: Dotto Mwendwa, Moses Songoma, Ketoka Elly, Michael Morris, Miraji Massaka, Maro R. Maro, Hamis Ngasa, C...
Monday, January 21, 2013
OMARYHAMIS: Tanesco yalalamikiwa kuchafua mazingira ya jiji kw...
AMANI MASUE: Tanesco yalalamikiwa kuchafua mazingira ya jiji kw...: Pichani Juu na Chini ni Lundo la matawi ya miti yanayodaiwa kukatwa na Shirika la Umeme Tanesco nakuachwa chini ya kizagaa hovyo bila k...
OMARYHAMIS: COSMOS GROUP YAZINDUA JENGO JIPYA LA UHURU HEIGHTS...
AMANI MASUE: COSMOS GROUP YAZINDUA JENGO JIPYA LA UHURU HEIGHTS...: Muonekano wa Jengo la Uhuru Heights lililopo barabara ya Bibi Titi Mohammed liking'arisha jiji la Dar nyakati za usiku. Picha na Mo Blo...
OMARY HAMIS BLOG: BAFANA BAFANA ULIMI NJE KWA CAPE VERDE
OMARY HAMIS BLOG: BAFANA BAFANA ULIMI NJE KWA CAPE VERDE: JOHANNESBURG, Afrika Kusini WENYEJI Afrika Kusini, maarufu kwa jina la Bafana Bafana juzi walianza vibaya michuano ya soka ya fainali ...
OMARY HAMIS BLOG: BILIONI 32 KUJENGA UWANJA WA KAUNDA
OMARY HAMIS BLOG: BILIONI 32 KUJENGA UWANJA WA KAUNDA: KLABU ya Yanga inatarajia kutumia sh. bilioni 32 kwa ajili ya kujenga uwanja wake mpya na wa kisasa katika makao makuu ya klabu hiyo mit...
Omaryhamis.blogspot.com: PICHA 10 ZA TANGA ALL STAR WAKATI WAKUFANYA WIMBO...bonge la wimbo
waweza kutembelea ukurasa wangu wa twitter.com@omaryhamis1: PICHA 10 ZA TANGA ALL STAR WAKATI WAKUFANYA WIMBO...: Baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva kutoka Tanga walikutana Tongwe Records Masaki ilikufanya wimbo kwa ajili ya Marehemu Sharo Milionea. Dan...
Omaryhamis the number 1 reporter: PICHA YA UTUPU YA VIDEO QWEEN WA KENYA.
waweza chati nami kupitia facebook.com/omary hamis: PICHA YA UTUPU YA VIDEO QWEEN WA KENYA.: Huyu ndio Kama Amber Rose wa Kenya anaitwa Huddah Monroe. Amejipatia umaarufu mkubwa kupitia video Vixen 'Nikama Video Model hapa Tanzania...
Omaryhamis : MAELEZO KAMILI KUHUSU PICHA YA RECHO,LINAH NA DIAMond.nakupa habari ambazo ni nyeti na vigumu kuzipata ...
Sammisago.com: MAELEZO KAMILI KUHUSU PICHA YA RECHO,LINAH NA DIAM...: Jana kupitia mitandao ya jamii, kulikua na mzunguko wa picha hii kila kona ya mitandao hiyo, huku ikiwaacha mashabiki kujiuliza maswali me...
Omaryhamis: COVER LA WIMBO MPYA YA IZZO BIZNESS,UNATOKA JUMATA...
COVER LA WIMBO MPYA YA IZZO BIZNESS,UNATOKA JUMATA...: Kwenye Hi Joint ameshirikishwa Quickrocka Na Ngwair Inatwa "Ball Player"
Karibu ktk mapishi ya leo mchana
Leo ktk mapishi 2nahandaa ugali kwa dagaa nyasa na mboga ya majani "MATEMBELE"maandalizi katika upishi we2 wa ugali
OMARYHAMIS: AMERICA NEWS: OBAMA KUAPISHWA LEO
: AMERICA NEWS: OBAMA KUAPISHWA LEO: Rais Barack Obama wa Marekani anatarajiwa kuapishwa baadaye hii leo Jijini Washington DC kwa awamu ya pili. Maandalizi makubwa ...
OMARYHAMIS: Check Picha 5 za Mwanamke Mwenye Umbo Pana na nene dunia...
: Check Picha 5 za Mwanamke Mwenye Umbo Pana na nene...: FOL CLASSIC: Check Picha 5 za Mwanamke Mwenye Umbo Pana na nene Duniani.Hizo Hips sasa!
Sunday, January 20, 2013
Omaryhamis Blog: Messi, Ronaldo, Iniesta For Ballon d'Or
omary Blog: Messi, Ronaldo, Iniesta For Ballon d'Or: FIFA and France Football have announced that Lionel Messi, Andres Iniesta and Cristiano Ronaldo are the remaining three candida...
Friday, January 18, 2013
YALIYO JIRI MKOANI RUVUMA NA MKONGWE WA HABARI OMARY HAMIS NINDI: KAMANDA WA POLICE MKOA WA RUVUMA AAMURU MCHAWI ALIyekamatwa arudishe kwao msumbiji...
YALIYO JIRI MKOANI RUVUMA NA MKONGWE WA HABARI OMARY HAMIS NINDI: KAMANDA WA POLICE MKOA WA RUVUMA AAMURU MCHAWI ALI...: Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Kaizilege Nsimeki ametoa amri ya uchunguzi wa Mzee ambaye anasadikika alianguka na ndege ya kichawi alu maarufu kama ungo {kiparu}...
STAR LINK: LEO KITAANI NIMEKUTANA NA MANGWEA
>>OMARY STAR LINK: LEO KITAANI NIMEKUTANA NA MANGWEA: Katika pita pita zangu nilikutana na Albert Mangwea akiwa amepozi, Angalia kipande hiki cha video uone alikuwa na nani.
Omaryhamis-Sex, Relationships & Love: Uongo ktk mahusiano ya Kimapenzi!
-Sex, Relationships & Love: Uongo ktk mahusiano ya Kimapenzi!: Kuna hili swala la kuwaita wanaume wadanganyifu (waongo) na wanapenda kulaghau ili kupata kile wanachokitaka na cha kusikitisha hapa sio ba...
Omaryhamis-Sex, Relationships & Love: Jinsi ya kuita Utamu a.k.a Kilele ukiwa na mwenzi wako kitandani fuatilia ili upate kujua
-Sex, Relationships & Love: Jinsi ya kuita Utamu a.k.a Kilele a.k.a O a.k.a......: Kama ambavyo wengi tunatambua kuwa sehemu kubwa (asilimia 99.5) ya kufurahia ngono ni Mapenzi ya kweli juu ya mpenzi wako ikisaidiwa na utundu binafsi ...
Bonge la show: CHECK OUT: KALA JEREMIAH NA WASANI WALIVYOPIGA SHOW na kubamba mbaya...
omary hamis: CHECK OUT: KALA JEREMIAH NA WASANI WALIVYOPIGA SHO...: Msanii wa Hip Hop maarufu kama Kala Jeremiah baada ya kutoka na album yake mpya inayofahamika kawa jina la Pasaka,sasa jana club ma...
Thursday, January 17, 2013
This is omary hamis: MOJA YA MIZUNGUKO YANGU KWA SIKU YA JANA
This is omary hamis: MOJA YA MIZUNGUKO YANGU KWA SIKU YA JANA: Hata ukiwa msafi kiasi gani na kupendeza juu lakini ukatembelea Gari chafu ni sawa na kazi bure... Me uwa nazingatia sana usafi wa Gari y...
This is omary hamis: BIRTHDAY YA Cherry Coco NI ZAIDI YA BIRTHDAY
This is omary hamis BIRTHDAY YA Cherry Coco NI ZAIDI YA BIRTHDAY: Hii ndio Cake ya Cherry Coco Cherry akikata Cake... Cherry akifungua zoezi zima la chakula...Kuku walikuwepo wa ...
Wednesday, January 16, 2013
Omary hamisVIJIMAMBO: BALOZI BERTHA SEMI-SOMI ANAESHUGHULIKIA WATANZANIA...
VIJIMAMBO: BALOZI BERTHA SEMI-SOMI ANAESHUGHULIKIA WATANZANIA...: Super Woman ndani ya uwanja wake wa nyumbani akifanya makamuzi kwenye kipindi kinachoongoza kwa kutazamwa na watanzania wengi kila ifikap...
Sunday, January 13, 2013
Blogger Status: We have received reports from users not being able...
Blogger Status: We have received reports from users not being able...: We have received reports from users not being able to create or edit posts. We are working on fixing this. In the meantime, you can change y...via omaryhamis.blogspot.com
Omaryhamis.blogspot.Com: EXPLORING THE LAKE ZONE MWANZAAA MWANZAAA
omaryhamis: EXPLORING THE LAKE ZONE MWANZAAA MWANZAAA: beautiful onyinyee Jlo ne EA unstoppable muniwaaache oyeahhh lovely Sintah sintalicious baby don u wish ya...
matukio-michuzi: APIGANAJI IRINGA WAZINDUA IPC VICOBA, WAPATA TSH M...
matukio-michuzi: APIGANAJI IRINGA WAZINDUA IPC VICOBA, WAPATA TSH M...: Salim Asas akitoa mchango Sh Milioni 2 kwa Mwenyekiti wa IPC Vicoba J. Matondo MLEZI wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa...
Friday, January 11, 2013
Omary hamis: Matokeo Kidato cha Pili Yatangazwa wafaulu kwa asilimia 65%,na kufeli 35%
omary hamis: Matokeo Kidato cha Pili Yatangazwa: via azimioletu blog Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa . Matokeo ya kidato cha pili yametangazwa ambapo ya...
Omary hamis nindi page: Facebook Fan Page Iliyoleta Utata Nchini Kenya Mpa...
FOr omary hamis nindi page: Facebook Fan Page Iliyoleta Utata Nchini Kenya Mpa...: Wakati Kenya inazihesabu siku kadhaa kufikia siku ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, serikali ya Kenya inajaribu kwa njia zote kuziba mi...
OMARY HAMIS Mzee Wa Matukio Daima: HIVI NDIVYO MWANAHABARI DAUD MWANGOSI ALIVYOPOTE...
omary hamis Mzee Wa Matukio Daima: HIVI NDIVYO MWANAHABARI DAUD MWANGOSI ALIVYOPOTE...: Hapa polisi wakiwataka wafuasi wa Chadema kutawanyika eneo la tukio ofisi za Chadema Nyololo Mufindi Mwili wa mwanahabari Daud Mwang...
Thursday, January 10, 2013
Omary hamis Blog: Turning your phone and tablet into the best remote...
omary hamis blog: Turning your phone and tablet into the best remote...: We bet you a billion views you can find your way around YouTube faster on your mobile device than on your TV. That’s why we launched a feat...
OMARYHAMIS.BLOGSPORT.COM: Watoto waangukiwa na nyaya za Umeme na kuujeruhiwa...
OMARYHAMIS.BLOGSPOT.COM: Watoto waangukiwa na nyaya za Umeme na kuujeruhiwa...: Watoto watatu ambao hawajatambuliwa majina yao wakiwa wamelala nyuma ya Pickup kwa ajili ya kupelekwa Hospitali baada ya kujeruhiwa ...
Omary hamis Mzee Wa Matukio Daima: MSANII WA KUNDI LA ZE ORIJINO KOMEDY VENGU AZ...
omary hamis Mzee Wa Matukio Daima: MSANII WA KUNDI LA ZE ORIJINO KOMEDY VENGU AZ...: Rais Dkt Jakaya Kikwete alipomtembelea Hospital msanii wa kundi la Ze Comedy Joseph Shamba a.k.a Vengu ...
Monday, January 7, 2013
Habari ya hivi punde : KUHUSU DIAMOND KUTOKA KIMAPENZI NA AVRIL ..AVRIL A...
HABARI MPASUKO: KUHUSU DIAMOND KUTOKA KIMAPENZI NA AVRIL ..AVRIL A...: Baada ya tetesi kuenea kwenye Mitandao mbali mbali kuwa diamond na mwanamuziki Avril kutoka kenya ni wapenzi ,Avril am...
THE LILLY MELODY SHOW: ANGALIA JINSI WASANII WA BONGO MOVIE WANAVYOJISHUS...
THE LILLY MELODY SHOW: ANGALIA JINSI WASANII WA BONGO MOVIE WANAVYOJISHUS...: DUH!!!! JAMANI EEEH!!! SASA HAPA TENA INAKUWAJE!!? Baada ya Ant Ezekiel kuto kuonyesha heshima katika jukwaa la serengeti fi...
Sunday, January 6, 2013
Saturday, January 5, 2013
MAASINDA: HAYA NDIYO YALIYOJIRI KWENYE SHOW YA DIAMOND MAISH...
MAASINDA: HAYA NDIYO YALIYOJIRI KWENYE SHOW YA DIAMOND MAISH...: Haya ndiyo maneno aliyo yaandika Msanii Diamond kwenye Website yake.Nachukua nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo...
Subscribe to:
Posts (Atom)