Monday, October 14, 2013
WANAWAKE WA FACEBOOK JINSI WANAWATEKA WANAUME
Omy : mambo
binti : poa nambie wewe
omy : kwangu mzima xana 2 na ni amani kwa xana
binti : omy me nashida ya elfu hamsini je unaweza nisaidia jamani mpenzi
omy : mmmh sijakuelewa jamani unamaanisha wewe
binti : nataka unipe 50000 maana chuo kwe2 bumu alijatoka
omy : haya mamii chukua hii 51000 jamani mi na wewe tena ni kama pete na kidole
binti : omy unautani me kweli nashida na iyo pesa maana nimefulia hata sina chakufanya mpenzi
omy : ooh mpenzi tena majanga hayo wacha wewe
binti : omy jamani si nimekupenda ghafla tu mwenzio ebu nawe kuwa serious basi
omy : we we we we hatar iyo me ninae huwa ananionga yeye elfu za vocha kila day sasa wewe unataka nikuonge wewe tena mmmh
BINTI : kumbe we mwanaume suruali 2 eti eeeh
OMY : we je mwanamke sketi maana sikusomi unijui unakurupuka 2 nikupe 50000 elfu me nachimba
BINTI : hata elfu 5000 mpenzi wangu omy nitumie tu
KIMYA OMY KAINGIA MITINI HADI SAIVI SIJUI YUKO WAPI AU SIJUI KAENDA KUBOMOA KIBOX HAPANA JUA HIYO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment