Saturday, October 12, 2013

TAMBU JINSI YA KUMTEKA MWANAMKE

Mapenzi ya sasa yamejawa na tamaa sana ya pesa kwa hiyo hizi ndizo stage za kumteka mwanamke step 1: Kumpa vizawadi kila ifikapo wikieni,ukiwa hivyo utasababisha mpenzi wako hakuamini xana step 2 : kumtoa out ifikapo wikiend,hii ni hatua nzuri ya kumfanya mpenzi wako ajione mwenye bahati ya pekee sana step 3 : kumpa maneno matamu na malaini,mwanaume ukimwambia mwanamke maneno matamu xana hatajiona mwenye amani ktk moyo

No comments:

Post a Comment