Monday, October 14, 2013
KUPENDA KWELI HATARI SANA
ebu chukua hii
nimetoka zangu kwa mchizi wangu axubuhi kumwangalia maana jana alifanywa kitu mbaya kidogo kisa mwanamke basi nikawa namuuliza kwa nini umepigwa hadi umevunjwa mkono wangu
BASI AKANIJIBU HIVI
MCHIZI : Omy me yule mwanamke nampenda hata kama nimepigwa hivi na huyo braza yake sitoweza kumuacha bora hata aniue 2 nakwambia hivyo omy
OMY : wangu xaxa mbona utaumia xana mbona wanawake wapo wengi tena wakali kila day wanaibuka tuu humu mtaani na mwanamke mwenyewe yule wakasoma uoni kama msala huo kaka
MCHIZI : omy we fala eti nimekwambia siwezi kumuacha au unanionea wivu unataka kumchukua wewe toka home kwangu omy sitaki kukuona tena kumbe we boya 2 niaje na urafiki uishe au sio
OMY : sio hivyo ila poa utanifuata one day na utapigika xana si unamcheki kaka ake mwenyewe bangi m2pu kichwani mule
MCHIZI : toka omy niseje nikakuchoma kisu dogo au nikakuumiza
NILISEPA DUUH BILA KUANGALIA NYUMA EBU NIAMBIE KUNA NENO BAYA KWELI NILIMWAMBIA PALE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment