Thursday, October 17, 2013
TAMBUA MAISHA YA WEMA SEPETU
SHOW YA WEMA SEPETU IMEANZA KUONEKANA KWA TV..!! KAMA UNATAKA KUMJUA WEMA NI NANI, TABIA YAKE, NA MAZURI NA MABAYA ANAYOFANYA BASI SOMA HAPA..!!
Show ya TV ‘In my shoes’ ya mwigizaji Wema Sepetu kutoka bongo movie imeanza kuonyeshwa Eatv October 16 2013 ambapo Episode hii ya kwanza imeanza kwa kumuonyesha Wema kwanza akieleza yeye ni nani, anafanya nini, ni mtu wa aina gani na mengine kama hayo ambapo yafuatayo hapa chini ni maswali aliyoulizwa na kuyatolea majibu.
Swali: Wema ni nani?
Jibu: Wema Sepetu is a girl, i can say a Lady mwenye umri wa miaka 24 kutoka familia ya Isack Abraham Sepetu, a darling, a libra.. a girl who is very ambicious, i love my self…
Swali: Siku yako ya kwanza shuleni ilikuaje?
Wema: Siku ya kwanza tumeenda nikakutana na msichana flani hivi anaitwa Shubira nakumbuka mpaka leo, alikua rafiki yangu wa kwanza tulikutana shuleni nilikua na miaka minne… tumekaa nikaanza kulia kwa sababu ilikua sehemu mpya, mazingira mapya baada ya hapo tukazoea.
Shule ilikua vipi kipindi unasoma?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment