Saturday, October 19, 2013

KUPENDA KWELI MAJANGA

Kuna demu mm0ja kamaliza chuo keshe saa ndo kaja hapa tz na yupo hapa mtaa wa tatu...yani mzuri sijapata ona yani ukamwangalia kasura kaa ka mtoto iv.,kiuno kaa kichuguu kilichoota miaka kadhaa iliyopia na mguu wenyewe wa wine..hips utafikiri mashavu ya tom na jery dah anabamba sana pande iz.. Cha ajabu masela wamegoma kumpandia wanamw0gopa et mtoto wa kishua sana af et hawajui kiulaya dah mpaka akawa anajihisi hajakamilika...juzi npo zangu kibalazan nachat chat fb npo kitumbo nje mara nkaona toto hilo lapita dah kiukweli nilimfata hadi kene kona na nkapata sikia akimuuliza rafik ake kwamba amebuma hajapata boy na vile ana miaka hajakwea mnaz dah nilifurahi vibaya mn0 nkajua hapa kido nshapata ki2 kipo hewani ngoja nkakidabue.... Nilirudi fasta nyumbani nkamtegeshea bro kamsindikiza shem nkaingia chumban kwake nkachukua jeans lake la id na mtisheti wake hule mzuri kisha nkaangalia ustaharabu nkachukua beg lake la chuo nkapitia mlango wa nyuma fasta nkaelekea kwa msela wangu nkaazma laptop chini nka2pia supla

No comments:

Post a Comment