Wednesday, October 16, 2013

MAJIBU YA MWANAMKE AMBAYE AKUPENDi

haya ndo majibu yake; 1.Baby 2taongea badae,nnakazi nyng 2.Jamani honey ckuweza kupokea cmu nlikua kwenye kelele. 3.Sweety cna credit,that's why cjajibu sms yako. 4.tuko kwenye kikao ntakubip badae dia. 5.Cmu haikua na chaji jamani (hapo alikuzimia). 6.Nipo na baba yangu ucpge cmu. 7.Naumwa kesho ha2wezi kuonana. 8.nyumban kuna mgeni cwez kuja leo. 9.Nipo safarini ntakutafuta badae (kwa saut ya chini). 10.Yani ulivoniongezea salio 2 likakatwa coz nilikopa,ni'recharge tena dia (lazma uombe poo). UKIONA MAJIBU HAYA UJUE HUNA CHAKO!!! gOOD MORNING PEOPLE Just nownear Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment